Matumla avunja ahadi yake ya mwaka 2012

Rashid Matumla

Mwana masumbwi wa zamani nchini Tanzania ambaye aliwahi kushinda mkanda wa WBC, Rashid Matumla anatarajia kupanda ulingoni hii leo kuzichapa na Matibwa Ally, pambano litakalopigwa katika uwanja wa ndani wa taifa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS