Kijana wa miaka 21 ambaka bibi wa miaka 85

Makao makuu ya jeshi la polisi mkoa wa Kilimanjaro.

Kaimu Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Kilimanjaro, Koka Moita amethibitisha kuwa wanamshikilia Daniel Colner mwenye umri wa miaka 21 kwa tuhuma za kumbaka bibi kizee wa miaka 85.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS