Waziri apiga marufuku kusafirisha Korosho
Serikali imepiga marufuku usafarishaji wa Korosho nje ya nchi kwa mfanyabiashara yeyote ndani ya nchi badala yake imetoa ruhusa ya tani 2000 ambazo zilinunuliwa kabla ya serikali haijaamua kuingilia kati kununua zao hilo.