Waziri apiga marufuku kusafirisha Korosho

Waziri wa Kilimo Japhet Hasunga

Serikali imepiga marufuku usafarishaji wa Korosho nje ya nchi kwa mfanyabiashara yeyote ndani ya nchi badala yake imetoa ruhusa ya tani 2000 ambazo zilinunuliwa kabla ya serikali haijaamua kuingilia kati kununua zao hilo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS