Irene Uwoya amfungukia Dogo Janja
Msanii wa filamu nchini, Irene Uwoya ambaye amewahi kuwa mke wa mwanamuziki Dogo Janja, amesema kuwa anachokifanya msanii huyo kwa sasa ni kizuri na kinatakiwa kiendelezwe ikiwa ni katika kurudisha msaada kwa jamii yake.