Irene Uwoya amfungukia Dogo Janja

Msanii wa filamu nchini, Irene Uwoya, akiwa na Dogo Janja.

Msanii wa filamu nchini, Irene Uwoya ambaye amewahi kuwa mke wa mwanamuziki Dogo Janja, amesema kuwa anachokifanya msanii huyo kwa sasa ni kizuri na kinatakiwa kiendelezwe ikiwa ni katika kurudisha msaada kwa jamii yake.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS