Majeruhi 9 wamefikishwa hospitali ya Avenue

Eneo la 14 Riverside, Nairobi nchini Kenya.

Watu kadhaa wamejeruhiwa na kufuatia mlipuko na milio ya risasi iliyotokea katika eneo la 14 Riverside, Nairobi nchini Kenya ambapo maafisa wa shirika la msalaba mwekundu wamefika eneo la tukio na kufanya huduma ya kwanza.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS