Kocha wa Simba aeleza hofu yake kwa Nkana FC

Kocha wa Simba Patrick Aussems.

Kocha mkuu wa Simba, Patrick Aussems amesema anaheshimu ubora wa Nkana FC na ndio maana amefanya maandalizi makubwa kuelekea mchezo huo kwa kutambua aina ya timu anayokwenda kucheza nayo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS