Makonda amuombea Lissu msamaha

Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Antiphas Lissu

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda amewaomba watanzania kumsamehe Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Antiphas Lissu kwa kauli anazozitoa huko nje ya nchi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS