Wanne mbaroni kubaka 'mtungo'

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Geita, Mponjoli Mwalubambo.

Wanawake wanne (majina yamehifadhiwa) wakazi wa kijiji cha Buganzu kata ya Lunzewe Mashariki, Wilayani Bukombe Mkoani Geita wamebakwa na wanaume zaidi ya mmoja baada ya kuvamiwa na watu hao wakiwa majumbani mwao.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS