Waitara atishwa na tiketi za mabasi ya mwendokasi

Naibu Waziri wa TAMISEMI, Mwita Waitara.

Naibu Waziri wa TAMISEMI, Mwita Waitara ameitaka Wakala wa Mradi wa Mabasi yaendayo haraka (DART) kuangalia namna ya kuboresha utendaji, ili kuhakikisha mradi huo unaweza kutumika kwenye utekelezaji wa miradi mingine ya serikali.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS