Kesi ya Viongozi wa CHADEMA yapewa Hakimu mpya Freeman Mbowe na Esther Matiko wakiwa na Askari kwenye gari linalowarudisha magereza. Kesi inayowakabili baadhi ya viongozi wakuu wa Chama na Wabunge 7 wa Chadema, imeendelea leo ambapo imepangiwa Hakimu mpya anayejulikana kwa jina la Kelvin Mhina. Read more about Kesi ya Viongozi wa CHADEMA yapewa Hakimu mpya