Baada ya Bundi, jingine laibuka Bungeni
Mbunge wa Kilwa Kusini, Selemani Bungara amesema kuwa hakutishiwa na namna wabunge walivyohangaika kutoka ukumbini mara baada ya kutokea kwa kiasharia cha hatari ndani ya Bunge na wabunge wote kutakiwa kutoka nje ya ukumbi ili kupata taarifa rasmi juu ya kitu kilichotokea.

