Aliyemla mwenzake akamatwa akijifanya daktari Raia mmoja nchini Urusi, Boris Kondrashin mwenye umri wa miaka 35, amekamatwa na polisi akijifanya daktari, baada ya kubainika kufanya tukio la mauji miaka 20 iliyopita, na kunywa damu ya mtu aliyemuua. Read more about Aliyemla mwenzake akamatwa akijifanya daktari