Sakata la CAG, Spika abanwa

Mkaguzi na Mdhibiti wa Hesabu za Serikali nchini (CAG) Profesa Mussa Assad, Spika wa Bunge, Job Ndugai.

Spika wa Bunge, Job Ndugai amepewa siku 14 kuwasilisha utetezi juu ya madai yaliyofunguliwa na Mbunge wa Kigoma Mjini, Zitto Kabwe juu ya mamlaka ya kikatiba ya kumuita Mkaguzi na Mdhibiti wa Hesabu za Serikali nchini (CAG) Profesa Mussa Assad.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS