Sakata la CAG, Spika abanwa
Spika wa Bunge, Job Ndugai amepewa siku 14 kuwasilisha utetezi juu ya madai yaliyofunguliwa na Mbunge wa Kigoma Mjini, Zitto Kabwe juu ya mamlaka ya kikatiba ya kumuita Mkaguzi na Mdhibiti wa Hesabu za Serikali nchini (CAG) Profesa Mussa Assad.

