TFF yapiga 'stop' mabadiliko Simba na Yanga

Vikosi vya Simba na Yanga

Shirikisho la soka nchini (TFF), limesisitiza kuwa hakutokuwa na mabadiliko ya tarehe ya mchezo wa watani wa jadi kati ya Simba na Yanga utapigwa siku ile ile iliyopangwa awali ya Februari 16, 2019.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS