"Mwili wangu umechanwa, mnaweza kukimbia" - Lissu

Mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu.

Mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu amebainisha kuwa anatarajiwa kufanyiwa upasuaji wa mwisho ambao utakuwa upasuaji wa 23, ikiwa ni kumalizia hatua za mwisho za matibabu yake.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS