"Nitapunguza kichwa, miguu ila tumbo 'no" - Msechu

Peter Msechu

Msanii wa Bongo Fleva, Peter Msechu amesema pamoja na kufanya mazoezi ya kupunguza unene ila hatathubutu kupunguza tumbo lake kwa kuwa ndio utambulisho wake, hivyo anapambana kupunguza kichwa, miguu, shingo, kifua na si tumbo. 

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS