Mzee mwenye watoto 60, wajukuu 70 afungua Shule

Mzee Laibon, Mfugaji mwenye umri wa miaka 102, watoto zaidi ya 60 na wajukuu zaidi ya 70

Mzee Meshuku Mapi Mukari almaarufu mzee Laibon, kutoka jamii ya kifugaji, mwenye umri wa miaka 102 na wake wapatao nane, watoto zaidi ya 60 na wajukuu zaidi 70, amesema kuwa licha ya kuwa na idadi kubwa ya watu nyumbani kwake, lakini wameweza kuishi kwa amani bila migongano yoyote.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS