Mdee apewa Mitano mingine ya Uenyekiti BAWACHA Mwenyekiti wa BAWACHA Taifa na Mbunge wa Kawe, Halima Mdee Mbunge wa Kawe, Halima Mdee, amechaguliwa tena kuwa Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake wa Chadema (BAWACHA), baada ya kupigiwa Kura za Ndio 317 kati ya Kura 324. Read more about Mdee apewa Mitano mingine ya Uenyekiti BAWACHA