Mdee apewa Mitano mingine ya Uenyekiti BAWACHA

Mwenyekiti wa BAWACHA Taifa na Mbunge wa Kawe, Halima Mdee

Mbunge wa Kawe, Halima Mdee, amechaguliwa tena kuwa Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake wa Chadema (BAWACHA), baada ya kupigiwa Kura za Ndio 317 kati ya Kura 324.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS