'Naweza kumpata mwanamke yeyote nitakaye' - Marioo Pichani ni msanii Marioo 'Toto Bad'. Msanii wa muziki wa kizazi kipya nchini , maarufu kwa jina la Marioo, amesema kwa sasa alipofikia, pamoja na kazi nzuri anazozifanya anao uwezo wa kumpata na kummiliki mwanamke yeyote anayemtaka. Read more about 'Naweza kumpata mwanamke yeyote nitakaye' - Marioo