Afariki baada ya kutumwa Maharage
Watu watatu wamefariki Dunia katika matukio matatu tofauti yaliyotokea wakati wa Sikukuu ya Krismasi katika Wilaya za Muleba, Bukoba na Ngara mkoani Kagera, akiwemo mtoto Everine Method mwenye umri wa miaka 13, mwanafunzi wa Shule ya msingi Kagoma, ambaye mwili wake ulikutwa kichakani.