Stamina afunguka kusalitiwa na mkewe

Stamina akiwa na mke wake siku ya harusi yao

Baada ya kuachia wimbo wake wa asiwaze ambao amezungumzia misukosuko ya ndoa yake, EATV & EA Radio Digital, imempata msanii Stamina na amesema vyote alivyoimba vimetokea kwenye uhalisia wake na lazima maisha yaendelee.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS