Baadhi ya watu wakiutazama mwili wa mtu aliyesombwa na maji mto msimbazi
Mwili mmoja wa mtu ambaye hajafahamika umeokotwa katika eneo la Kigogo, katika Mto Msimbazi jijini Dar es salaam ambao unatajwa kusombwa na maji, kufuatia mvua zilizonyesha jana.