CCM yasema haitakosea tena jimboni kwa Msigwa

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt Bashiru Ally.

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt Bashiru Ally, akiwa katika ziara ya kikazi ya siku mbili mkoani Iringa, amewahakikishia wanachama wa CCM kuwa chama hicho hakipo tayari kupoteza jimbo la Iringa Mjini, kama ilivyofanyika miaka michache iliyopita.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS