Wanandoa wauawa kwa kucharangwa mapanga

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kagera, Revocatus Malimi.

Jeshi la Polisi Mkoa wa Kagera linawashikilia watu saba ambao ni Sophia Joseph, Joseph Magambo, Alphonce Karoli, Martine Makabe, Alex Leopord, Salvatory Mwiliza na Aloyce Leopord kwa tuhuma za mauaji ya wanandoa wawili huku chanzo kikielezwa kuwa ni mgogoro wa ardhi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS