Baba ampa Mimba mtoto wake

Mimba

Deus Richard 40, mkazi wa Kijiji cha Milala Kata ya Misunkumilo Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi, amempa ujauzito binti yake wa Darasa la Nne, Monika Shigela, na kumtelekeza mkewe na watoto wadogo watano na kutoweka kusikojulika na mtoto wake aliyempa mimba.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS