Rage aeleza Simba watakavyovuna pesa za Samatta Kushoto ni Ismael Aden Rage na kulia ni Mbwana Samatta Mwenyekiti wa zamani wa klabu ya Simba Ismail Aden Rage, amesema alisaini mkataba na TP Mazembe ambao unaiwezesha Simba kupata asilimia 20 ya pesa za mauzo ya Mbwana Samatta kila anapokwenda. Read more about Rage aeleza Simba watakavyovuna pesa za Samatta