Rais wa Barcelona azidi kuwekwa matatani Josep Maria Bartomeu (kushoto) na Joan Laporta Wakati Rais wa Barcelona, Josep Maria Bartomeu akiendelea kuandamwa na shutma za kuachia ngazi, hali inazidi kutia hofu kwake baada ya Rais wa zamani wa klabu hiyo Joan Laporta kuonesha nia ya kuutaka urais. Read more about Rais wa Barcelona azidi kuwekwa matatani