Samatta aeleza jinsi kocha anavyofuatilia mwenendo

Mbwana Samatta

Nyota wa klabu ya Aston Villa ya England na nahodha wa timu ya taifa ya Tanzania Mbwana Samatta, amesema licha ya kuwa nyumbani wakati huu wa janga la Corona lakini anafanya mazoezi kutokana na maelekezo ya kocha.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS