Alichokisema Waziri kuhusu barakoa za vitambaa

Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt Faustine Ndugulile.

Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt Faustine Ndugulile amesema kuwa barakoa za vitambaa hazina ubora wa kinga kama N-95 au zile za upasuaji lakini zinaweza kutumika kupunguza uwezekano wa maambukizi toka kwa mtu mmoja kwenda mwingine.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS