Nikki Wa Pili aichambua miaka mitano ya Magufuli

Upande wa kulia ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli, kushoto ni msanii Nikki Wa Pili

Nikki Wa Pili ni msanii wa HipHop kutoka Weusi, pia jina lake linatajwa sana kuwa miongoni mwa wasanii wanaojihusisha na masuala ya kisiasa, kutokana na ushawishi wake kwenye jamii, vijana na maendeleo kwa ujumla.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS