Serikali yafafanua madereva kuzuiwa kuingia Zambia

Kituo cha ukaguzi mpakani mwa Tanzania na Zambia

Serikali imetolea ufafanuzi kuhusu Idara ya Uhamiaji nchini Zambia kuwazuia madereva wa IT katika mpaka wa Tunduma Mkoani Songwe kuingia nchini Zambia, ikiwa ni katika kujikinga na Virusi vya Corona.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS