Waliowekwa Karantini watishia kujiua kisa pesa

Chuo Kikuu cha Kenyatta

Baadhi ya raia waliowekwa Karantini eneo la Chuo Kikuu cha Kenyatta nchini Kenya, wamezua tafrani baada ya kutishia kujiua kwa kujirusha kutoka ghorofani, wakidai kunyanyaswa na Serikali wakilazimishwa kulipa ada ya Karantini.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS