DC atamani JPM awekwe kwenye vitabu vya Guinness

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Magufuli, na kulia ni Mkuu wa Wilaya ya Dodoma Mjini, Patrobas Katambi.

Mkuu wa Wilaya ya Dodoma Mjini, Patrobas Katambi amesema kuwa Rais Magufuli anapaswa kuingizwa kwenye vitabu vya Guinness, vitabu ambavyo vimesheheni maajabu na historia ambazo zimevunja rekodi kwa Dunia nzima.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS