Muimbaji Nyota azungumzia kifo cha Mzee Njenje

Muimbaji wa Bendi ya Kilimanjaro, Nyota Waziri na kulia ni Mzee Njenje.

Muimbaji wa Bendi ya Kilimanjaro, Nyota Waziri, amezungumzia kifo cha Mkongwe wa Bendi hiyo Mabrouk Omar maarufu kama Mzee Njenje, na kusema kuwa alikuwa anasumbuliwa na maradhi ya muda mrefu yaliyosababishwa na uzee.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS