Muimbaji Nyota azungumzia kifo cha Mzee Njenje
Muimbaji wa Bendi ya Kilimanjaro, Nyota Waziri, amezungumzia kifo cha Mkongwe wa Bendi hiyo Mabrouk Omar maarufu kama Mzee Njenje, na kusema kuwa alikuwa anasumbuliwa na maradhi ya muda mrefu yaliyosababishwa na uzee.