Mzee wa miaka 103 apona Corona, ajipongeza na bia

Bibi Jennie Stejna aliyejipongeza na bia ya baridi baada ya kupona Corona

Bibi mmoja aliyejulikana kwa jina la Jennie Stejna mwenye miaka 103, amejipongeza kwa kunywa bia ya baridi iitwayo Bud Light, baada ya kupona ugonjwa wa Virusi vya Corona.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS