Corona : Msimamo wa Waziri wanaouza Ndoo bei juu

Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Stella Manyanya

Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Stella Manyanya ameelekeza Viwanda ya plastiki nchini kuzalisha ndoo kwa wingi na ametoa onyo kali kwa wafanyabishara wanaouza bei za juu vifaa vya kunawia mikono.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS