Madhara ya moto uliowaka Stendi ya Msamvu Morogoro

Picha ya sehemu ya moto huo wakati ukiwaka

Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Morogoro SSP Michael Stephen, amesema moto uliotokea usiku wa kuamkia leo Mei 31, 2020nje ya stendi ya Msamvu, haujaleta madhara kwenye usafiri.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS