Bajeti 2020/21, umasikini watajwa kupungua

Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Philip Mpango

Kiwango cha umaskini kimeelezwa kupungua katika maeneo yote (Mijini na Vijijini), ambapo Waziri wa Fedha na Mipango Dkt Philip Mpango amesema, umaskini umepungua Mijini kutoka 21.7% hadi 15.8% na  maeneo ya vijijini umepungua kutoka 33.3% hadi 31.3%".

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS