TMA yatahadharisha mikoa ya Mbeya, Ruvuma, Songwe
Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini (TMA) imetahadharisha juu ya uwezekano wa kutokea kwa uharibifu wa mazao ya chakula utakaotokana na kuwepo kwa upepo mkali katika mikoa ya Ruvuma, Songwe, Mbeya na Njombe na hivyo kuwataka wakulima kuchukua tahadhari.