Baba adaiwa kumuua mwanaye kisa Shilingi mia tano

Kamanda Polisi mkoani Mwanza, Jumanne Murilo

Mtu mmoja anayefahamika kwa jina la Anthony Lyala mkazi wa kijiji cha kisesa A kata ya Bujora wilayani Magu mkoani Mwanza anatuhumiwa kumpiga hadi kumsababishia kifo mwanae Agness Anthony mwenye umri wa miaka minane kwa madai ya kupoteza shilingi mia tano.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS