Ujue undani wa Madereva waliokutwa na Corona Kenya
Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mrisho Gambo amesema kuwa, amebaini kuwa kitendo cha Serikali ya Kenya kuwapima Madereva 19 Watanzania na kuwakuta na maambukizi ya Virusi vya Corona ni njama za kuua soko la utalii nchini, kwani baada ya madereva hao kupimwa hapa nchini walikutwa hawana Virusi.