Azam,Yanga vitani leo VPL,na ratiba yote ipo hapa.

Mlinzi wa Yanga Juma Makapu akimvuta nyota wa Azam Fc, Never Tegere katika mchezo wa ligi kuu Tanzania Bara.

Patashika ya ligi kuu Tanzania bara raundi ya 35 itaendelea leo kwa mitanange 6 kupigwa ambapo klabu ya Namungo ambao wapo katika nafasi ya 4 na alama zao 60,wataialika Mbeya City iliyo katika nafasi ya 16 na alama zake 39 mchezo huo utapigwa katika uwanja wa Majaliwa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS