Baba Levo atimiziwa jambo lake na Serikali
Msanii na Diwani wa Mwanga Kigoma Mjini Baba Levo ametimiziwa ombi lake kwa Serikali la kutaka shughuli za kisanaa ziendelee ili wasanii wapate pesa kwa sababu taarifa ya ongezeko la ugonjwa wa Corona kupungua.