Zitto Kabwe akamatwa, Mbunge Bwege na wengine 5
Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe amekamatwa leo Juni 23, 2020, na Jeshi la Polisi wakati akiwa kwenye kikao cha ndani cha kupokea Madiwani 8 waliojiunga na chama hicho wakitokea chama cha Wananchi CUF katika Jimbo la Kilwa Kusini.