Zitto Kabwe akamatwa, Mbunge Bwege na wengine 5

Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo Zitto Kabwe, na kulia ni Mbunge Mstaafu wa Kilwa Kusini Selemani Bungara (Bwege).

Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe amekamatwa leo Juni 23, 2020, na Jeshi la Polisi wakati akiwa kwenye kikao cha ndani cha kupokea Madiwani 8 waliojiunga na chama hicho wakitokea chama cha Wananchi CUF katika Jimbo la Kilwa Kusini.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS