
rapa Stereo wa nchini Tanzania
Stereo amesema kuwa, kukamilika kwa kazi hiyo na kufanya kazi na Chid ni kukamilika kwa ndoto yake ya muda mrefu, akisisitiza pia kuwa mpango wa kufanya video ya kazi hiyo upo, wakiwa sasa wamejikita katika kuisambaza rekodi yenyewe kwanza.
