Joseph na Penina
Akizungumza na #EastAfricaTV ndugu wa marehemu Penina, amedai kuwa marehemu na mpenzi wake walikuwa na mpango wa kufunga ndoa mwezi Julai mwaka huu.
Mtuhumiwa wa tukio hilo alijisalimisha jana polisi baada ya kufanya mauaji majira ya saa 12 alfajiri kwenye baa ya mpenzi wake huyo ambaye anadaiwa hakurudi nyumbani usiku wa kuamkia siku ya tukio.
Penina ameacha watoto wawili na mwili wake unazikwa leo jioni Goba Dar es Salaam.