
Picha ya Coi Leray
Msanii huyo mwenye miaka 26 amefunguka hilo kupitia page yake ya mtandao wa X baada ya kuandika
“Sielewi kwanini kizazi chetu hakijui jinsi gani ya kupika, sitaki mpikie kwenye Air Fryer, Vuta sufuria hizo nzuri zilizokwaruzwa, washa r&B ya miaka ya 2000 na tuwachangamshe watu”.
Unakubaliana naye kuwa kizazi hicho cha miaka ya 90 hakijui kupika?