.jpg?itok=-sp-Rp50×tamp=1702467707)
Makamu Rais wa AngloGold Ashanti -GGML anayeshughulikia miradi endelevu na masuala ya ubia/ ushirika (Afrika), Simon Shayo akizungumza katika hafla ya kukabidhi tuzo kwa muajiri bora wa mwaka 2023 - zilizoandaliwa na Chama cha Waajiri Tanzania (ATE) hivi karibuni jijini Dar es salaam. Shayo alisema GGML ambayo ilikuwa mmoja wa wafadhili wa hafla hiyo, zaidi ya asilimia 80 ya menejimenti ya kampuni hiyo inaongozwa na Watanzania hivyo kuwa mgodi kinara unaoajiri Watanzania wengi tofauti na kampuni nyingine za sekta ya madini.
kuwa mmoja wa wadhamini wakuu wa hafla ya kukabidhi tuzo kwa muajiri bora wa mwaka 2023 - tuzo ziliandaliwa na Chama cha Waajiri Tanzania (ATE)
.jpg)