![](http://eatv.tv/sites/default/files/styles/detailpageimg/public/news/2023/10/03/WhatsApp Image 2023-10-03 at 14.20.45.jpeg?itok=RvjCjyT6×tamp=1696340127)
Pochettino amesema ni suala la muda,uvumilivu,kuamini wachezaji hawa vijana wenye vipaji huku tukiendelee kuwajengea kujiamini kuongezeka kwao na hili linahitaji uvumilivu hata kama hatujapata matokeo kwenye michezo tunayoicheza mbeleni.
Chelsea inashika nafasi ya 11 kwenye msimamo wa Epl wakiwa na alama 8 kwenye michezo 7 waliocheza huku mchezo unaofuata watakuwa kwenye dimba la Turf Moor kupambana na Burnley inayofundishwa na mkufunzi Vincent Kompany Jumamosi ya Oktoba 07-2023.