
Kushoto ni Mohbad na mtoto wake, kulia ni mtoto wa Rais wa Nigeria
Akaunti hiyo imefunguliwa kwa ajili ya mtoto wa marehemu ili kusaidia familia ambayo Mohbad aliiacha. Hadi sasa zaidi ya N35 Milioni sawa na Tsh 113,449,000 ambazo zimeshatolewa.
Mohbad alifariki Septemba 12 na raia wa Nigeria wametaka uchunguzi wa mwili wake ufanyike kufuatia chanzo cha kifo chake huku lebo aliyowahi kufanya nayo kazi Marlian Music kuhusishwa kwenye kifo hicho.