
Sehemu ya uharibifu uliofanywa
Kaimu Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Geita ACP Berthaneema Mlayi amethibitisha kutokea kwa tukio hilo na kwamba watu wawili wanashikiliwa na upepelezi wa tukio hilo unaendelea.
Taarifa zaidi kwa urefu itafuata.
Unaweza kutazama picha zaidi za tukio hilo hapo chini