
Taarifa hiyo pia imebainisha kuwa katika robo ya nne ya mwaka mpaka sasa wawekezaji wa ndani wamechangia 93.93 ya uwekezaji huku wa nje wakichangia asilimia 6.07 ya uwekezaji.
Aidha miamala iliyofanyika kwenye upande wa hatifungani ni thamani ya shilingi 52.42bilioni sawa na ongezeko la asilimia 163 ikilinganishwa na miamala yenye thamani ya shilingi bilioni 21 .05 kwa wiki iliyoishia oktoba