
Akizindua huduma hiyo Mkurugenzi wa kidijitali kutoka vodacom Nguvu Komando amesema ni muda mwafaka ambao sasa watanzania zaidi ya milioni 17 wanatarajiwa kufikiwa na huduma hii ambayo imejaa maudhui ya ndani.
Huduma hiyo ambayo Vodacom imeizindua pamoja na mwananchi sasa kupitia kasi ya mtandao wa 5g wito umetolewa kupakua my vodacom app ili kupitia taarifa zote za siku lengo ikiwa kupata msingi wa maendeleo kupitia njia ya kidigitali.